The Sound Of Africa
Sunday May 26th 2013

Habari za Biashara

Dk. Bilal ahimiza ushirikiano kiteknolojia Afrika Dk. Bilal ahimiza ushirikiano »

Na Immaculate Kilulya,                     Dar Es Salaam.   Makamu wa Rais Dokta [...]


Viongozi wakuu wa nchi kujadili reli Maziwa Makuu. Viongozi wakuu wa nchi »

Na Joyce Mwakalinga, Dar Es Salaam. Marais wa Nchi tatu na Mawaziri wenye dhamana za usafirishaji [...]


Wakulima Mkoani Manyara walalamikia dawa kuharibu mazao Wakulima Mkoani Manyara »

Na Zacharia Mtigandi, Manyara.   Wakulima wa zao la pamba mkoani manyara wamedai kuwa,  dawa [...]


Habari Kitaifa

Mtwara waandanama kupinga bajeti ya nishati, madini.

Mtwara waandanama kupinga bajeti ya nishati, madini.

Na Philip Lulale, Mtwara. Vurugu kali zilizoambatana na uchomaji wa nyumba na matairi barabarani zimezuka mkoani Mtwara mara baada bajeti ya wizara ya nishati na madini kusomwa bungeni.   Katika vurugu hizi mtu mmoja alilipotiwa kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa na baadhi waandishi wa habari wamekutana na wakati mgumu [...]

Tanzania yakabiliwa na uhaba wa vyuo vikuu.

Tanzania yakabiliwa na uhaba wa vyuo vikuu.

Na Josephine Shem                          Dar Es Salaam            Makamu wa rais Dokta Mohamed Ghalib Bilali amesema Tanzania inakabiliwa na tatizo kubwa la uhaba wa vyuo vikuu vya elimu ya juu hivyo kushindwa kukidhi mahitaji ya wanafunzi wanaodahiliwa kujiunga na vyuo. Alisema kati ya wanafunzi elfu [...]

Prof. Muhongo akemea maandamano Mtwara, Lindi.

Prof. Muhongo akemea maandamano Mtwara, Lindi.

Na Mwandishi wetu, Dodoma.   Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amelieleza bunge kuwa, maandamano na vurugu zinazoendelea katika Mikoani Lindi na Mtwara kutokana na gesi Asilia iliyogundulika hivi karibuni vitarudisha nyuma mipango ya serikali inayolenga kuleta maendeleo ya kiuchumi Nchini.   Waziri [...]

Find Us On Facebook

Wasemavyo Wasikilizaji na Wasomaji

Kissfm Live

»

// // // // [Read More]


Habari za Michezo

David Moyes Kocha Mpya wa Man United. David Moyes Kocha »

Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja [...]


Sir Alex Ferguson astaafu rasmi Man Utd. Sir Alex Ferguson »

Mabingwa wa Ligi Kuu nchini England, Manchester United wametangaza kwamba, Sir Alex [...]


Ujumbe wa Uingereza waelekea Malya. Ujumbe wa Uingereza »

Na Ahmed Ally, Dar Es Salaam. Ujumbe kutoka England uliopo nchini kukagua miundo mbinu [...]