Radio Free Africa-The Sound Of Africa: Home page
Radio Free Africa Poll
Serikali kuzifutia kodi NGOS na Mashirika ya Kidini, nini mtazamo wako?

Wamefanya vizuri
Wamewaogopa
Wangefuta tu
Sijui


View Results
Radio Free Africa Limited. Copyright @ 2009. All rights reserved
Website  by Dullonet Tanzania
Watatu wafariki katika ajali ya malori Bagamoyo.
WATU watatu akiwemo dereva wamefariki dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa vibaya baada ya malori mawili waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Ubena Senge wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani 

Tukio hilo limetokea majira ya saa nane mchana jana na kwamba ajali hiyo ilihusisha gari namba T 813 AKS Scania Lorry iliyokuwa ikiendeshwa na Elia Mhando (37) mkazi wa Makambako Iringa  na iligongana na gari T 637 ASK Mitsubish Canter iliyokuwa ikiendeshwa na Musa Kiula (32) mkazi wa Iringa ambaye alikufa papo hapo baada ya ajali hiyo. ...........  zaidi
Na  Julieth Ngarabali,Bagamoyo






RADIO FREE AFRICA- NEWS HEADLINES
Leo::
Email: info@radiofreeafricatz.com
Vurugu zasababisha zoezi la upigaji kura za kumkataa mwenyekiti kuvunjika.
SPORTS NEWS
online counter
Naibu Waziri wa Mawasiliano , Sayansi na Teknolojia Dkt Maua Daftari(kushoto) akitetea jambo na Waziri Mkuu Mstaafu ambaye ni Mbunge wa Mtera John Samwel Malecela jana nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kipindi cha maswali na majibu kumalizika asubuhi ya 08-02-2010....   .. Picha Zaidi






Kufuatia uhaba wa magodoro na maturubai kwa wahanga wa mafuriko Kilosa, JK aamuru yapelekwe mara moja.
Wasemavyo Wasikilizaji na  Wasomaji
Baada ya kukithiri wa matumizi mabaya, Madiwani Iramba waomba Mwongozo wa fedha za Sekondari.
::Related links

Baada ya kuona hakuna uelekeo, Iran kuongeza urutubishaji wake wa uranium.