Radio Free Africa Limited. Copyright @ 2009. All rights reserved
Watatu wafariki katika ajali ya malori Bagamoyo.
WATU watatu akiwemo dereva wamefariki dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa vibaya baada ya malori mawili waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Ubena Senge wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani
Tukio hilo limetokea majira ya saa nane mchana jana na kwamba ajali hiyo ilihusisha gari namba T 813 AKS Scania Lorry iliyokuwa ikiendeshwa na Elia Mhando (37) mkazi wa Makambako Iringa na iligongana na gari T 637 ASK Mitsubish Canter iliyokuwa ikiendeshwa na Musa Kiula (32) mkazi wa Iringa ambaye alikufa papo hapo baada ya ajali hiyo. ........... zaidi
Na Julieth Ngarabali,Bagamoyo
RADIO FREE AFRICA- NEWS HEADLINES
Email: info@radiofreeafricatz.com
Wasemavyo Wasikilizaji na Wasomaji